CHUO CHA SANAA DAR ES SALAAM


"Kipaji ni Ajira. Sanaa ni Biashara"

USAJILI WA CHUO

Hali ya Usajili

Chuo kina usajili kamili kutoka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kwa namba ya usajili REG/NACTVET/1125. Na kimeidhinishwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Bodi ya Filamu Tanzania (TFB) na Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA).