SHULE YA UREMBO
Shule ya Urembo ni kitengo maalum cha mafunzo ya Cosmetology chini ya Chuo cha Sanaa Dar es Salaam, kinachotoa mafunzo ya nadharia na vitendo katika masuala ya urembo, huku kikitoa huduma kwa jamii kama sehemu ya mazoezi ya vitendo ya wanachuo.... Soma zaidi