CHUO CHA SANAA DAR ES SALAAM


"Kipaji ni Ajira. Sanaa ni Biashara"

Maono na Dhamira

Maono

Kituo cha umahiri kinachojulikana na kuheshimika katika kutoa mafunzo, kufanya utafiti na kutoa ushauri elekezi katika tasnia ya Sanaa nchini Tanzania.

Dhamira

Kujikita katika kutoa stadi zinazozingatia umahiri, ujuzi na fursa kwa wote, katika kuibua, kukuza na kuendeleza vipaji katika Sanaa na kutumia vipaji vyao kuajiriwa au kujiajiri na kuendesha biashara za Sanaa