CHUO CHA SANAA DAR ES SALAAM


"Kipaji ni Ajira. Sanaa ni Biashara"

Maadili ya Msingi

Maadili ya Msingi

Maadili yetu ya msingi ni mkusanyiko wa kanuni, misingi, na tabia ambazo tunazitumia katika utoaji wa huduma, ufundishaji, na ushirikiano kati ya Chuo na jamii ya Chuo, Serikali, wadau wa Chuo, na jamii kwa ujumla. Maadili yetu ni:

  • a. Nidhamu
  • b. Uadilifu
  • c. Ujasiri
  • d. Ubunifu
  • e. Umahiri
  • f. Ujumuishi
  • g. Usawa
  • h. Ushirikishaji

Maadili yetu ya msingi yamejengwa juu ya utamaduni wetu wa kipekee na unaovutia unaotutofautisha na wengine.